Patrick Rweyongeza, Mhadhiri (College of Engeneering) UDSM, ameuawa leo kwa kupigwa na risasi.
Tukio limetokea majira ya mchana maeneo Magomeni TANESCO wakati marehemu akielekea mjini ambapo watu waliokuwa wamepakizana kwa pikpiki kumfuata na kumfyatulia risasi kisha kutokomea.
Haijafahamika kama kuna uporaji uliofanyika au la.
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA *PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS*
------------------------------
ARUSHA
DAR ES SALAAM
DODOMA
IRINGA
KAGERA
KIGOM...
8 years ago

Dar Es Salaam Time
0 comments:
Post a Comment