Home » » NIGERIA: Bikira Maria asadikiwa kuonekana huko Nigeria na kuwafanya watu kuvutwa na tukio hilo

NIGERIA: Bikira Maria asadikiwa kuonekana huko Nigeria na kuwafanya watu kuvutwa na tukio hilo


                                                                                                                                             
Mmoja kati ya mashuhuda

Picha hii ni ya Kanisa la Kikatoliki la Saint Benedict, lililopo Ubiaja, Esan Kusini Mashariki ya Jimbo la Edo nchini Nigeria.


Waumini wa Kanisa hilo wanasema kwamba waliiona kitu kinachofanana na Bikira Maria kwenye ukuta wa Kanisa hilo mnamo siku ya Jumapili July 21.
Jika Anda menyukai Artikel di blog ini, Silahkan Tanzania Mpya untuk berlangganan gratis via email, dengan begitu Anda akan mendapat kiriman artikel setiap ada artikel yang terbit di Hisia za Mwananchi

0 comments:

Post a Comment

 
Support : Copyright © 2013. Tanzania Mpya - All Rights Reserved
Template Modify by Hisia za Mwananchi
Proudly powered by Hisia